VIJANA wanne kutoka Kanda ya Ziwa, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, ...
Wakazi wanne wa mkoa wa Kagera na Mwanza, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka 49 yakiwemo ya kutumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la ...
KIPA wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda amesema pamoja na ugumu wa mechi dhidi ya Yanga, lakini kutokana na uhitaji wa ...
KAGERA Sugar imetamba kwamba haiifuati Yanga jijini Dar es Salaam kinyonge, bali imejipanga kukabiliana ipasavyo na mabingwa ...
Muonekano wa mazingira na wakazi katika mtaa wa Matopeni kata Kashai manispaa ya Bukoba wakiendelea na shughuli zao. Bukoba. Watu wawili kati ya watano waliofikishwa katika Hospitali ya Manispaa ya ...
Amesema kwamba sampuli zilizopimwa katika hospitali moja mjini Kagera na kuthibitishwa ... 2023 katika eneo hilohilo la Kagera wilayani Bukoba. Ameongezea kwamba kufikia sasa kumekuwepo na visa ...
MSF na mamlaka za Sudan wapiganaji wa RSF walihusika katika shambulio la siku ya Jumamosi kwenye mji wa Omdurman, ambapo watu ya 60 waliuawa na wengine zaidi ya 100 walijeruhiwa, madai ambayo hata ...
Hakujawa na uthibitisho kutoka kwa jeshi la Kongo au serikali mjini Kinshasa kwamba mji huo mkuu wa mkoa wa Kivu Kaskazini umekamatwa na waasi. Muungano wa waasi unaoongozwa na kundi la M23 lenye ...
Taarifa hiyo imeongezea kuwa wanajeshi wengine wanne waliojeruhiwa wakati wa shambulio hilo wanapokea matibabu mjini Goma. Taarifa hiyo ilisema: 'Kufuatia mashambulizi ya mfululizo katika maeneo ...
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Singida Mjini,Shwahibu Mohamed, amesema sio kweli kwamba wajumbe 29 wa mkutano mkuu kutoka Mkoa wa Singida wanamuunga mkono mgombea ...
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi inachukua hatua za haraka kushughulikia msongamano wa magari kwenye Barabara Kuu kutoka Mwanza Mjini hadi Usagara kwa ...
Hii leo huko Beni mji ulioko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kumefanyika hafla ya kumsimika Gavana mpya wa kijeshi wa jimbo hilo kufuatia wa awali kuuawa wakati wa mapigano hivi ...